Na waandishi wetu Deric Samora na Samora Omary....
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mikoani kote nchini Tanzania,tukio la kustaajabisha limejitokeza katika wilaya ya Iramba mkoa wa Singida na kusababisha madhara ikiwemo uharibifu wa miundombinu pamoja na wanyama kusombwa na maji.
Kwa taarifa zaidi usiache kutufuatilia kupitia blog yetu ya Derisam media na Chaneli yetu ya Youtube Derisam Media pia kupitia whatsApp +255753864398.
No comments:
Post a Comment